Malala Akosolewa Nyanza
- last year
Uongozi Wa Chama Cha Ford Kenya Eneo La Nyanza Umepinga Mapendekezo Ya Katibu Mkuu Wa Chama Cha Uda Cleophas Malala, Ya Kutaka Kuvunjilia Mbali Kwa Vyama Tanzu Kwenye Muungano Wa Kenya Kwanza Na Kuunda Chama Kimoja. Wakiongozwa Na Mwenyekiti Wa Chama Hicho Tawi La Nyanza Charles Mogaka, Viongozi Wamekashifu Wazo La Malala Wakimtaka Kutotoa Kauli Kama Hizo Bila Kushiriki Majadiliano Na Viongozi Wa Vyama Hivyo.
Recommended
Malala Yousafzai Quotes on Education to Inspire Millions Across The Globe on Malala Day 2019
LatestLY
Former Nyanza region councillors call on Raila to withdraw the planned Monday protests
The Star Kenya
MALALA Trailer Italiano Ufficiale (2015) - Malala Yousafzai [HD]
FilmIsNow Trailer & Clip in Italiano